Sunday, September 28, 2008

UJUMBE WA JUMAPILI YA LEO

Furaha:- Inakuja wakati kazi zetu na maneno yetu yanapokuwa na faida(fadhila) kwa wewe binafsi na pia kwa wengine.

Amani:- Kuleta amani kwa kila mtu, inabidi kupambana ili kuweka amani yako ya maisha yake pia.

Ushujaa:- Kutokuwepo na woga au kukata tamaa, isipokua ni uwezo wa kushinda.

Utulivu:- Ni amani inayokuja wakati nguvu zipo ndani ya upatanifu wa kirafiki upo sawasawa.

Upendo/Mapenzi:- Ni msukumo ambao tumepewa, mapenzi ni pumzi ya maisha juu ya moyo na yanaleta madaha/uzuri ndani ya roho.Bila kusahau ya kwamba upendo una mamlaka , enzi, amri na nguvu hapa duniani.

Busara:- Elimu, kipaji/uwezo wa kuelewa/kuhisi kitu haraka na uzoefu wa mchanganyiko wa kuelekezana na kufikiri jambo/tendo.

1 comment:

Anonymous said...

napenda blog ilivyo,Uhalisia wa mtanzania.Keep it tite Yasinta!