Mungu amemsikiliza sala zake za kupata mke mwema. Hapa ni Bony Mwaitege na Kipenzi chakeBi Subiraga. Naona sasa majukumu yatapungua maana sasa umepata mke mtasaidiana. Maana sasa umekamilika. Hongera sana kaka Boniface
9
Maoni:
markus mpangala
said...
mbona silewi maana ya ndoa? je hayo ni mapenzi ya mungu, lakini kwanini alitaka watu waoe? je kusihi bila ndoa ni dhambi hasa kama hutaki kuwa na ndoa yenyewe? je sisi kwa waumini wa dini za kijadi hatulazimishwi kuoa. nini maana ya ndoa?
wimbo wako wa njoo ufanyiwe maombi unanibariki sana hongera kwa kutunga nyimbo zinazo bariki watu kweli bila maombi huwezi kupona maana tabibu mkuu ni Yesu
Kweli waliomtegemea mungu maisha yao hukamilika . Mungu awe nanyi kama familia , tafadhali ningetaka kujua hali ilivyo kwa sasa . Kunayo tofauti tangu uoe? Mungu awalinde . Amina .
Kweli waliomtegemea mungu maisha yao hukamilika . Mungu awe nanyi kama familia , tafadhali ningetaka kujua hali ilivyo kwa sasa . Kunayo tofauti tangu uoe? Mungu awalinde . Amina .
Kwangu mie hupenda sana kusikiza nyimbo zambo kama vile mke mwema , njoo ufanyiwe maombi . Hizi nyimbo hunipa mootisha kuwa mungu atafanya muujiza nikaweze pia kupata jiko . Mungu apewe sifa . Uliwezaje kupata mke akufaaye ? .
Yasinta wewe ni mngoni na nasikia ninyi huwa mna unyago; mnafundishwa mengi ikiwemo na jinsi kutumia shanga ktk mapenzi, kurefusha kinembe nk. Naomba tupe wenzako ujuzi huo ili tuboreshe ndoa zetu.
9 Maoni:
mbona silewi maana ya ndoa? je hayo ni mapenzi ya mungu, lakini kwanini alitaka watu waoe? je kusihi bila ndoa ni dhambi hasa kama hutaki kuwa na ndoa yenyewe? je sisi kwa waumini wa dini za kijadi hatulazimishwi kuoa.
nini maana ya ndoa?
Mimi naamini ni kwamba watu wawili wapendanao hii ndio maana ya ndoa. Lakini inawezekana ikawa si hivyo
hongera umempata wa kufanana nawe msaidizi wako
wimbo wako wa njoo ufanyiwe maombi unanibariki sana hongera kwa kutunga nyimbo zinazo bariki watu kweli bila maombi huwezi kupona maana tabibu mkuu ni Yesu
nikweli mungu amekupa mke mwema nawatakia maisha mema,mtoto ameumbika kweli.
Kweli waliomtegemea mungu maisha yao hukamilika . Mungu awe nanyi kama familia , tafadhali ningetaka kujua hali ilivyo kwa sasa . Kunayo tofauti tangu uoe? Mungu awalinde . Amina .
Kweli waliomtegemea mungu maisha yao hukamilika . Mungu awe nanyi kama familia , tafadhali ningetaka kujua hali ilivyo kwa sasa . Kunayo tofauti tangu uoe? Mungu awalinde . Amina .
Kwangu mie hupenda sana kusikiza nyimbo zambo kama vile mke mwema , njoo ufanyiwe maombi . Hizi nyimbo hunipa mootisha kuwa mungu atafanya muujiza nikaweze pia kupata jiko . Mungu apewe sifa . Uliwezaje kupata mke akufaaye ? .
Yasinta wewe ni mngoni na nasikia ninyi huwa mna unyago; mnafundishwa mengi ikiwemo na jinsi kutumia shanga ktk mapenzi, kurefusha kinembe nk. Naomba tupe wenzako ujuzi huo ili tuboreshe ndoa zetu.
Post a Comment