Friday, September 12, 2008

HARUSI YA BONIFACE MWAITEGE


Mungu amemsikiliza sala zake za kupata mke mwema. Hapa ni Bony Mwaitege na Kipenzi chakeBi Subiraga. Naona sasa majukumu yatapungua maana sasa umepata mke mtasaidiana. Maana sasa umekamilika. Hongera sana kaka Boniface

13 comments:

Anonymous said...

mbona silewi maana ya ndoa? je hayo ni mapenzi ya mungu, lakini kwanini alitaka watu waoe? je kusihi bila ndoa ni dhambi hasa kama hutaki kuwa na ndoa yenyewe? je sisi kwa waumini wa dini za kijadi hatulazimishwi kuoa.
nini maana ya ndoa?

Yasinta Ngonyani said...

Mimi naamini ni kwamba watu wawili wapendanao hii ndio maana ya ndoa. Lakini inawezekana ikawa si hivyo

josephine peter said...

hongera umempata wa kufanana nawe msaidizi wako

josephine peter said...

wimbo wako wa njoo ufanyiwe maombi unanibariki sana hongera kwa kutunga nyimbo zinazo bariki watu kweli bila maombi huwezi kupona maana tabibu mkuu ni Yesu

Douglus said...

nikweli mungu amekupa mke mwema nawatakia maisha mema,mtoto ameumbika kweli.

Hackett said...

Kweli waliomtegemea mungu maisha yao hukamilika . Mungu awe nanyi kama familia , tafadhali ningetaka kujua hali ilivyo kwa sasa . Kunayo tofauti tangu uoe? Mungu awalinde . Amina .

Hackett said...

Kweli waliomtegemea mungu maisha yao hukamilika . Mungu awe nanyi kama familia , tafadhali ningetaka kujua hali ilivyo kwa sasa . Kunayo tofauti tangu uoe? Mungu awalinde . Amina .

Hackett said...

Kwangu mie hupenda sana kusikiza nyimbo zambo kama vile mke mwema , njoo ufanyiwe maombi . Hizi nyimbo hunipa mootisha kuwa mungu atafanya muujiza nikaweze pia kupata jiko . Mungu apewe sifa . Uliwezaje kupata mke akufaaye ? .

Anonymous said...

Yasinta wewe ni mngoni na nasikia ninyi huwa mna unyago; mnafundishwa mengi ikiwemo na jinsi kutumia shanga ktk mapenzi, kurefusha kinembe nk. Naomba tupe wenzako ujuzi huo ili tuboreshe ndoa zetu.

Anonymous said...

Hongera bonny. Mungu wetu awalinde daima

Anonymous said...

Hongera mtumishi wa Mungu

Unknown said...

Mungu awa bariki kwa Jina la Yesu

Anonymous said...

Welcome to brotherhood Illuminati where you can become
rich famous and popular and your life story we be change
totally my name is Dan Jerry I am here to share my
testimony on how I join the great brotherhood Illuminati
and my life story was change immediately . I was very poor
no job and I has no money to even feed and take care of my
family I was confuse in life I don’t know what to do I try all
my possible best to get money but no one work out for me
each day I share tears, I was just looking out my family no
money to take care of them until one day I decided to join
the great Illuminati , I come across them in the internet I
never believe I said let me try I email them.all what they
said we happen in my life just started it was like a dream to
me they really change my story totally . They give me the
sum of $1,200,000 and many thing. through the Illuminati I
was able to become rich, and have many industry on my
own and become famous and popular in my country , today
me and my family is living happily and I am the most
happiest man here is the opportunity for you to join the
Illuminati and become rich and famous in life and be like
other people and you life we be change totally.If you are
interested in joining the great brotherhood Illuminati.then
contact him +2348106618681 email:illuminatibrotherpowerful@
gmail.com or you need my assistance email:danjerry04@gmail.com...