Friday, January 25, 2019

HEBU LEO TUANGALIE BAADHI YA MANENO LA HEKIMA....!

1. Kila jambo na wakati wake
2. Aba na haba hujaza kibaba
3. Maji hayatoki yakishushwa kwa moto.
4. Siku njema huonekana asubuhi.
5. Dalili ya mvua ni mawingi
6. Dawa ya moto ni moto
7. Fimbo ya mbali haini nyoka
8. Asiyefunzwa na mamaye hafunzwa na ulimwengu
BASI  NIWATAKIENI IJUMAA NJEMA NA MWISHO MWEMA WA JUMA.

No comments: