Wednesday, May 27, 2015

LEO NIMEAMKA NA HAMU YA EMBE KWELI...KWENDA DUKANI ETI EMBE MOJA BEI YAKE ...

Ni 2640, duh  nikakumbuka nyumbani Ruhuwiko nina miembe na mpaka kuna wakati natupa maembe au nalisha nguruwe...Mmmmmhhh maisha haya kaziiiii kwelikweli.... JUMATANO NJEMA KWA WOTE!!

No comments: