Thursday, May 14, 2015

MAPISHI:- LEO KATIKA KUSOMA SOMA NIMEKUTANA NA MAPISHI HAYA....

 Ni kuku mzima ambaye nimempaka viungo na halafu nimemweka juu ya  kopo la bia na  na halafu nimemchuma. Nyama yako ilikuwa tamu sana. Jaribu na wewe nakwambia utajiuma...unaweza kula na wali, viazi au ugali, mimi nilikuta na kachumbali/saladi. Siku na Jioni njema. Kapulya:-)


2 comments:

sam mbogo said...

haya mapishi yakusoma mahali! yana maajabu yake,ukikosea kusomavizuri umeharibu mapishi yote.
haya hongera kwa mlo safi.kaka s

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Sam! Hayawezi kuwa ya maajabu, na hakuna kukosea kama ulivyosema ni lazima kuwa makini. Nakuambia ungeonja ungerudia kupika tena....