Friday, May 1, 2015

NA TUUKARIBISHE MWEZI HUU WA TANO NA SIKUKUU HII YA WAFANYAKAZI KWA KUANZA NA MLO HUU AUPENDAO KAPULYA

Leo ni mwezi mpya wa tano na sio hivyo pia ni sikukuu ya WAFANYAKAZI (MEI MOSI) Kwa hiyo napenda kuwatakieni wafanyakazi wote siku njema sana kwa siku hii. Binafsi sina mapumziko  mzigoni kama kawaida:-) TUPO PAMOJA NDUGU ZANGU NA NAWAPENDENI WOTE.

5 comments:

Nicky Mwangoka said...

Njaa yaniuma sasa kwa huo mlo

Yasinta Ngonyani said...

Yaani hunipiti mie ...na ni mlo niupendao mno mno.......

ray njau said...

Umenikumbusha wale watani wangu wa jadi wanaosema"thamaki ni mali na muchuthi ndo thakula".Kwa picha ya samaki matonge ya ugali yanashuka.

Rachel Siwa said...

Mmmhh uchokozii dadake...
Njaaaaaaa.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray...wewe acha athante

Kachiki...wala si uchokozi karibu tukule