Sunday, August 18, 2013

HILI NI CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KWA JUMAPILI HII YA LEO :UJUMBE!!

Elimu ni mali ambayo adui hawezi kuiteka. Maana ya msemo huu ni kwamba; mtu akishapata elimu, hii ni mali yake ambayo hakuna mtu anayeweza kuiteka na kuinyang'anya kwa kuwa hiyo ni sehemu ya utu wake. Pia elimu humsaidia kumfahamu Mungu vizuri zaidi aliye asili ya elimu na maarifa yote
JUMAPILI NJEMAKWA YEYETO ATAKAYEPITA HSPA.!!!!!

No comments: