Friday, August 16, 2013

IJUMAA YA LEO TUTEMBELEA BAGAMOYO KATIKA SHULE YA MZEE DIGALO´S YA MUSIKI WA ASILI/UTAMADANI WETU!!

Nimependa sana huyu mzee alivyoamua kuwafunza hawa watoto hawa uasili. Maana hawa watoto wetu ndio watakaoeneza utamaduni wetu, kwa watoto wao na wao kwa watoto wao tukiacha tu utakufa... Hakika inapendeza sana. Na ndio nimeona tuanza mwanzo wa mwisho wa juma kinamna hii. NAWATAKIENI WOTE MWANZO MWEMA WA MWISHO WA JUMA HILÖI

No comments: