Wednesday, January 18, 2023

KHERI SANA YA MWAKA MPYA 2023

!
Ndugu zanguni wapendwa napenda kuwatakieni kheri sana kwa mwaka mpya 2023. Najua nimechelewa kidogo lakini salamu hazina kuchelewa natumaini wote mu-wazima waafya njema na mwaendelea na majukumu ya kila siku. Tuzidi kumwomba Mungu kwa wote anayotubariku. NAPENDA KUWATAKIENI AMANI NA UPENDO PIA FURAHA. nI MIMI KAPULYA WENU

1 comment:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Da Yacinta habari za siku nyingi. Sisi huku tunalima summer tu na winter tunagandisha na kuendelea kuhomola. Tafadhali ondoa huo ujumbe juu wa utapeli na kutangaza upumbavu. Huyo aliyeweka ujumbe huo na kuficha ujumbe ni shetani binadamu anayetaka kuwaliza watu akidhani ni wapumbavu kama yeye. Tafadhali ondoa uchafu huu. Kwangu ukiwekwa nauporomosha siku hiyo hiyo maana kuna mipumbavu inayotaka kutumia blog za wenyewe kutanganza uchafu na utapeli wake. Ondoa tusitapike aghaaa aghaaa!