Friday, May 4, 2012

IJUMAA YA LEO TUANGALIE:- MISEMO NA MAFUNZO YAKE!!!

Hata kama mtu ni mwerevu, huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda mrefu. Siku moja utagunduliwa, kwa sababu "siku za mwizi ni arobaini" au "habari za uwongo zina ncha saba"
NAWATAKIENI WOTE IJUMAA NA MWISHO MWEMA WA WIKI!!!!

No comments: