Sunday, October 9, 2011

Mahojiano na Upendo Nkone, Upendo Kilahiro na Christina Shusho

Habari hii nimetumiwa na mzee wa Changamoto ...hapa http://changamotoyetu.blogspot.com/




Au labda tusikilza na hapa pia nayo nimetumiwa na kaka Mubelwa pia...
Nyerere Day 2011 in Washington DC.

5 comments:

Mzee wa Changamoto said...

Asante kwa kushirikisha
Baraka kwako Dada

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante na wewe kwa kazi uliyoifanya na pia kuweza kutishirikisha sisi wengine.

Rachel Siwa said...

Asante kaka MB, jina hilo kaka nimelichakachua,Mungu akubariki kazi nzuri na Asante kwa kushirikisha.

Simon Kitururu said...

Mmmh!

emuthree said...

tupo pamoja dada yangu!