Thursday, October 27, 2011

ELIMU:- EBU TUSIKILIZE SIMULIZI YA DADA YACINTA, HAKUNA KISICHOWEZEKANA!!


Kila la kheri Yacinta...hakuna kabisa lisilowezekana kama unapenda. Mvumilivu hula mbivu.

3 comments:

chib said...

Yote maisha!

Upepo Mwanana said...

Elimu ni ukombozi wa maisha. Tunamtakia kila la heri Hyacinta katika bahari hii ya elimu na maisha

sam mbogo said...

wakisaidiwa wanaweza. niwachache sana wenye muono wa kielimu kama huyu. elimu ni muhimu sana kwa wanao itafuta,waliotayari kuipata elimu hiyo.kaka s