Monday, September 26, 2011

MWANAMKE WA SHOKA WANGARI MUTA MAATHAI AMETUACHA!!!

(1 April 1940 -26 September 2011)
Nimepatwa na mshtuko wa aina ya pekee nilipopata habari ya kwamba mwanamke huyu wa shoka hayupo nasi tena ..ni mwanamke wa shoka, mwanaharakati ...pumzika kwa amani mama yetu..Mungu alitoa na Munga amechukua... habari zaidi soma hapa.

6 comments:

Simon Kitururu said...

R.I.P!

sam mbogo said...

Kalale pema peponi,amina. kaka s

Mija Shija Sayi said...

Dah!

Anonymous said...

Hvi kiswahili kizur ni ametuacha au ametutoka? ok god knows! Mungu atamchukua

Salehe Msanda said...

Ametangulia,atakumbukwa kwa mchango wake alioutoa akiwa hai.
Ni wakati wetu wa kujiuliza sisi tutakauacha huu mwili tutakumbukwa kwa lipi au majina yetu yatafutika mara tu baada ya watu kutoka makabulini?

Penina Simon said...

Sina historia nae lkn anaonekana was good wooman, na imani tutaonana nae paradiso