Sunday, September 4, 2011

Jumapili ya leo inatupeleka mpaka Mkoani Njombe katika Kijiji cha Uwemba/kanisa la Uwemba!!!

Hapa ni kanisa la UWEMBA. Kijijini Uwemba Wilayani Njombe.
Jengo hili ni sehemu ambayo mifugo ipo pia ni jikoni.

Na jengo hili ni sehemu ambayo mapadere wanapumzika pia ni sehemu ya kula chakula.
Duh! siku zinakimbia kwelikweli mara hii ni tarehe 5/9 ni jumapili ya kwanza ya mwezi huu kaaazi kwelikweli....JUMAPILI NJEMA WANDUGU:-)

2 comments:

Anonymous said...

Vipi Dada, pale hakuna nyumba ya Masista? nimeipenda nyumba ya kupumzikia mapadri.

Anonymous said...

mlongo ne na mlongo waku nivii bahapa pabomani vikemela sitoki home pa stockholm nihuma kuperamiho nilondai kwa email hii martinmonica33@yahoo com choinde mlongo pepai asanti sani muhi uvaha kwali chitita au