
Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari, vinasema meli ilikuwa imepakia mizigo na nabiria kuliko uwezo wake.
Poleni sana ndugu zetu wa Zanzibar, Mwenyezi Mungu awape moyo wa subira katika kipindi hiki kigumu cha majonzi, zaidi tuzidi kumuomba yeye ili manusura wengi wapatikane. Ameeni picha na maelezo toka hapa.
2 comments:
Poleni sana Wapendwa wetu Zanzibar, Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu.
Tukopamoja,mungu awape nguvu,wote waliofiwa,na moyo wa upendo,kwa kipind hikicha majonzi makubwa.pia tunaomba mungu awajalie,busara nahekima watakao shughulikia chanzo cha ajali. kaka S.
Post a Comment