Sunday, September 11, 2011

JUMAPILI YA LEO TUWAOMBEE MAREHEMU WOTE KWA SALA HII!!

Baba yetu uliye Mbinguni,
Jina lako litukuzwe,
Ufalme wako ufike,
Utakalo lifanyike ,
duniani kama Mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
Utusemehe makosa yetu, kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika vishawishi, lakini utuokoe maovuni.
(Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele Amina)

Pia Mwenyezi Mungu twakuomba uwape nguvu wafiwa waliowapoteza ndugu zao jana, katika meli iliyotoka UNGUJA kwenda PEMBA ambayo imezama jana. Uwalaze mahali pema PEPONI marehemu hao.AMINA. TUPO PAMOJA!!