Friday, February 3, 2012

IJUMAA HII NIMEONA TUIMBE KWA PAMOJA

Ni mwimbo mzuri sana kwa kuimba,kusikiliza pia kucheza. Nimejaribu kurekodi lakini mmmhh....yamenishinda:-(
Haya tuimbe sasa Ni wimbo wa lizombe:-

KISWAHILI:
Wageni karibuni mama aah x2
Karibu nyumbani wageni wetu,
mjisikie nyumbani wageni wetu x2

KINGONI:
Kamwali bwela bwela mama aaahx2
Karibu pa nyumba mgeni wetu,
hapa pa nyumba yangu mama aaah x2
IJUMAA NJEMA NDUGU ZANGUNI!!!!

1 comment:

ray njau said...

Wageni tumekuja,wageni tumefika,
Sisi ndiyo wageni,mwenyeji ni wewe,
Ukarimu wako dhahabu,wageni sasa tunaondoka,wageni wako tunashukuru.