Friday, September 21, 2012

TANGAZO:-NUFAIKA NA KILIMO ANZA SASA!!!

WEWE NI MKULIMA STADI? …… HUJACHELEWA ……. ANZA SASA ….
Fesh Farms (T) sasa wanasaidia uwekezaji katika kilimo cha miti ya
nguzo, karatasi na mbao. Wanauza mashamba yenye miti (ardhi pamoja na
miti); maeneo ya Mufindi-Iringa (kilomita 75 kutoka Iringa mjini). Bei
ni tsh 600,000 hadi 1,000,000 kwa ekari. Umri wa miti ni miaka 1 hadi
5. Unaweza kununua ekari kuanzia moja na kuendelea. Fresh Farms (T)
wana magari yatakayokupeleka na kukurudisha mashambani ikiwa unataka
kuyaona, kujifunza ama kununua.
Pia tunauza mashamba tupu (ardhi tupu) kwa 100,000 hadi 200,000 tu kwa
ekMashamba yote yana "documents" za umiliki na Fresh Farms (T)
itaendelea kukusaidia kutunza mashamba uliyonunua, hadi kuvuna miti
kwa gharama na utaratibu nafuu kabisa.
NB: Muda wa kuvuna miti ya mbao tangu kupandwa ni kuanzia miaka sita,
miti ya nguzo inavunwa baada ya miaka 4-5 tangu kupandwa. Miti
iliyokomaa kwa ekari moja unaweza kuvuna mbao hadi za shilingi 12M.
Wasiliana nasi kwa anuani zifuatazo
Fresh Farms (T)-Albert Sanga (Director) 0766 742414/0719 127 901
e-mail; stepwiseexpert@googlemail.com
Markus Mpangala (Advertising Officer)- 0764936655
e-mail: mwanazuoni27@gmail.com

No comments: