Wednesday, January 4, 2012

Nafasi ya Kazi...

Blogger Mwenza.
Ninatafuta blogger mwenza kwa ajili ya kushirikiana kuiandikia na kuiendeleza Kona Ya Waungwana.Sifa zifuatazo zahitajika:
1. Awe ni msomaji na mfuatiliaji wa blog mbalimbali hapa nchini Tanzania
2. Awe ni mkazi wa jijini Dar
3. Awe na background ya uandishi wa habari (si lazima sana)
4. Anaweza kuwa mwanafunzi katika chuo chochote Dar na hasa chuo cha Uandishi wa habari
5. Awe na ujuzi katika kublog na ufahamu wa blogger.com
6. Awe na nafasi ya angalau masaa matatu kwa siku kwa ajili ya kutafiti habari na kupost
7. Awe ni mmiliki wa Laptop yenye uwezo wa kuunganisha internet, na digital camera
8. Awe na uwezo wa kuongea kwa ufasaha lugha ya Kiswahili na Kiingereza
Mafao ni maelewano. Kama una sifa hizo hapo juu niandikie lacford.media@gmail.com au SMS +1301 222 7739 Ahsante, Mfalme MropeJe Huu Ni Uungwana

No comments: