Thursday, January 12, 2012

DAGAA WAPANDA BEI IRINGA!!!

Duh! kilo moja ya dagaa sasa ni shilingi ELFU TANO! Tutapona kweli? Mmmhh..naona tuanze kulima bustani za mbogamboga.....kaaaazi kwelikweli!! picha kutoka blog ya Mjengwa.
Ngoja Blad Key amalizie na wimbo huu.....

Muwe Salama wote tutaonana tena wakati ujao!!

No comments: