Monday, April 22, 2013

SIMBA WEUPE WA PORI LA LIPARAMBA WILAYANI MBINGA MKOANI RUVUMA....!!!

Juzi nilikuwa naangalia habari ya wanyama pori ambayo ilikuwa kuhusu simba waupe huko Afrika ya kusini,,,Mara nikakumbuka ya kwamba Simba waupe wanapatikana pia katika pori la wanyama la Liparamba wilayani Mbinga mkoani Ruvuma. Ina semekana Wanyama katika pori hii kila mwaka wanahamia kutoka nchini Msumbiji kuingia Tanzania. JE WEWE MWENZANGU UMEWAHI KUONA SIMBA MWEUPE???

9 comments:

ray njau said...

Hongera sana na asante kwa taarifa hiyo Yasinta!!!

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray! Ahsante kwa pongezi pia kupitahapa

Mija Shija Sayi said...

Ni albino hawa...

sam mbogo said...

Yasinta unasahau kuwa songea ni kusini mwa tanzania ,hivyo nchi jirani ni msubiji na Afrika ya kusini na ndiko chimbuko la wangoni au tusema simba hao weupe wana wafuata ndugu zao wangoni.sasa ni yupi mwenye thamani kati ya huyu mweupe na nasimba wakawaida.kaka s

Yasinta Ngonyani said...

Mija...umenichekesha kweli du hadi wanyama?

Kaka Sam! Ahsa kwa kunikumbusha..
Swali nzuri nani ngoja nifanye utafiti yupi ana thamani.

John Mwaipopo said...

hata mimi nimeshawahi kuwaona simba weupe. wako mjini dar es salaam. wako kariakoo. hawaungurumi wala hawaumi/ hawajeruhi. hawatishi.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka john ulikuws wapi yaani nimecheka måska basi.
Nadhani ww ni kaka mkuu .. kweli wspo dar?

Anonymous said...

The information were very helpful for me, I've bookmarked this post, Please share more information about this
Thanks

Salehe Msanda said...

Habari!
Hiyo ni habari mpya kwangu.
Pamoja na kupita mbuga ya wanayama ya Mikumi mara kwa mara sijawahi kuona simba mweupe.
Kama ni kweli wanakuja Tanzania kutoka Msumbiji ni Habari njema na ukizingatia sasa hivi utalii nyanda za juu kusini unapewa kipaumbele na Nchi
Ni matarajio yangu kuwa fursa hii itakuwa moja ya chanzo cha ajira kwa wanambinga
Kila la kheri