Friday, March 1, 2013

CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KATIKA KUUANZA MWEZI HUU WA MACHI/TATU NA IJUMAA YA KWANZA YA MWEZI HUU NI:- WIMBO HUU WA DADA RAY-C UPO WAPI...


Tuanza mwezi huu kwa kujiulizani lini nimewasiliana na baba, mama, babu, bibi, shangazi, mjomba, kaka, dada, mama mdogo, baba mdogo, mtoto, rafiki, mpenzi wangu  au hata jirani yako. Kwa hiyo chukua nafasi na mtafute yule mliopoteana na mpeana mawili matatu....NAWATAKIENI IJUMAA NJEMA NA MWISHO MWEMA WA WIKI...

3 comments:

Anonymous said...

Nami nauliza Ray C kwa sasa yupo wapi?

Yasinta Ngonyani said...

Nilisikia yupo salama sasa labda anapumzika na kuimba ...

Shalom said...

Da umenikumbusha nimeongea na mama yangu leo asante kwa kukumbushana dada.