Tuesday, September 15, 2009

ZANA ZETU + KUMBUKUMBU+ UTAMADUNI WETU

1. Ni nyengo ya akina baba. 2. Ni nyengo ya akina mama. 3. Ni upanga na 4 . Ni ujembe hizi zana ni kutoka Ubenani, maana kule mke na mune wote wanafyeke kwa hiyo kila mtu lazima awe na nyengo yake. Ukiangalia vizuri utaona kuna tofauti kati ya nyengo ya baba na mama.
1. Mkuki. 2. Inainekana kama ni fimbo lakini ni kisu . 3. ni kisu kidogo na 4. ni aina ya panga hivi vifaa vinatumika sana umasaini.

No comments: