Saturday, October 18, 2008

UMOJA WA NCHI HURU ZA AFRIKA

Umoja wa Nchi huru za Afrika uliundwa tarehe 25 mei 1963 na Nchi Huru 32 huko Addis Ababa. Malengo ya Umoja huu ni kudumisha Umoja wa Udugu baina ya Wanachama wake, Ukoloni katka Afrika na kukuza ushirikiano wa Kimataifa. Baraza la Wakuu wa nchi hizi hukutana kila mwaka kuratibu masuala mbalimbali ya Kisiasa, Kiutamaduni, Afya, Sayansi na Ulinzi. Mpaka mwaka 1987 Umoja huu ulikuwa na Wanachama 50

No comments: