Thursday, October 23, 2008

LAKE -MANYARA


Kwanza nilifikiri nimefika mbinguni, kwa kweli watanzania inabidi tujivunie sana nchi yetu nzuri.

1 comment:

Anonymous said...

Duh! Mungu anawapenda kweli wanyama wamepewa sehemu nzuri kama hii kuishi nami natamani kuwa mnyama kama wao ili niishi sehemu nzuri kama hii