Wednesday, October 8, 2008

SASA TUPO KWENYE KIKAO CHETU


Karibuni wote wapenzi wa ulanzi. Tena huu ule ndio ule mkangangafu usiwe na wasiwasi kuna ule mtamu.

3 comments:

MARKUS MPANGALA said...

natamani niwabamize ngumi za uso na masikio hawa jamaa lakini naona wameziba na mabakuli yao usoni yaani wameingia katika mbeta za kutolea ulanzi au? jamani hii tabia ya kunywa pombe alianzisha nani? mungu huyu nilimuuliza mbona umewapa watu akili sasa wametengeneza chimpumu unasema dhambi ebo kulikoni wewe? angalia wanavyolewa haki ya mungu asijinyee mtu hapa nawatengua viuno mnakosa uhondo duniani. maana najua nikiwatengua viuno habari yenu kwisha

MARKUS MPANGALA said...

mnywe lakini mjue tabia ya kutuletea inzi siyo nzuri. ge mana gazaliwayi ndali kwali kwani yanakunywa pombe namna hii. nimegundua watasema wivu kwenda zenu nakuja hapo hapo hasa huyo aliyevaa suluwali ya kaki alaiyekamata hilo kombe la pombe yaani ameingia hadi mwenyewe utamu wa kunywa au? ha ha ha ha jamani mbona sielewi. kaeni chonjo naona kuna mtu anataka kuachia haja ...... oooooohh kumbe anatapika. mnakumbuka nilisema katika blogu yangu kuwa jamaa kapewa mwaliko kalala kilabuni, nilikuwa nawaambieni huyo aliyevaa suluwali halafu amekamata kombe. ni nani huyo? mmm si ndiye mwandishi wa balogu/shajara hii najua moyo unauma huko aliko hakuna mikao ya aina hile adimu sana katika pombe kule Stockholm sijui nini hata sijui. acheni kulew mpaka mnashindwa kutembea nyie

Yasinta Ngonyani said...

Acha wivu kaka Mpangala ni kweli hapo ni mwenyewe mwenye blog. Karibu basi tushirikiane si unajua kupokezana robo/nusu au dumla .mwe kunoga kweli