Friday, March 29, 2013

NATAMANI SIKUKU HII YA PASAKA NINGEKUWA RUHUWIKO TENA KAMA X-MAS HII 2012 NYUMBANI RUHUWIKO..!!!IJUMAA KUU IWE NJEMA KWA WOTE!!!

Hapa ni nje ya kanisa la Ruhuwiko mwaka jana mwishoni siku ya x-mas. Hakika nilijisikia RAHA sana angalia mwenyewe jinsi umati wa watu ulivyokuwa. Nimekaa hapa na naota/natamani pia pasaka hii ningekuwa hapa. IJUMAA KUU IWE NJEMA KWA WOTE NA MSISAHAU HAKUNA KULA NYAMA LEO...

2 comments:

ray njau said...

Asante sana Yasinta kwa taswira ya nyumbani Ruhuwiko.

Yasinta Ngonyani said...

Ray,,,siku hii ilikuwa ya furaha sana kama vile nilikuwa nikisema na Mungu ana kwa ana....