Wednesday, August 8, 2012

LEO TUNAADHIMISHA SIKUKUU YA WAKULIMA -NANENANE...MWAKA JANA 2011 MSAMALA/SONGEA!!!

 Mwaka jana siku kama ya leo tulikuwa  tunajumuika kwa karibu kabisa kushrehekea sikukuu hii na hapa mnaona baadhi ya picha tulizopiga....Ndizi aina: BUKOBA
 Ndizi aina: JAMAICA
 NA HAPA NI BIRINGANYA
Na hapa ni KABEJI AINA YA FI..Mambo yote haya yilifanyika katika mji wa Songea /MSAMALA......WAKULIMA OYEEEEE. NILIIFURAHIA SANA SIKU HII:-)

2 comments:

emuthree said...

Ndugu wangu tumeshasherehekea sijui kwa vipoi labda wenzangu, ndio hivyo tena kufa kufaana

Yasinta Ngonyani said...

Haswa kufa kufaana..mie nimesherehekea kivyangu pia...Bustanini kwangu kwani nami si unajua "Mkulima"..