Monday, March 29, 2010

Karibu kwenye ulimwengu wa Ku-blog kaka Renatus Kiluvia!!!




Mimi ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kituo cha redio cha 87.8 Ebony fm cha Iringa lakini mimi niko Dar-Mini Studio, naitwa Renatus Kiluvia,ni mmoja wa wafuatiliaji wazuri wa blog yako,naomba msaada wako wa kunitangazia blog yangu mpya http://www.muzikinamaisha.blogspot.com/ ,blog yangu inahusu muziki na maisha katika nyanja tofauti-tofauti,pia itahusika kuzungumzia burudani zingine kama filamu n.k.
Akhsante!!!!!!!!!!!

3 comments:

John Mwaipopo said...

karibu renatus. natarajia kupata uhondo wa muziki maishani.

Mija Shija Sayi said...

Karibu tena sana kaka.

Anonymous said...

This is a good blog. Keep up all the work. I too love blogging and expressing my opinions