Monday, December 15, 2008

PADRE RAPHAEL M.K. NDUNGURU TULISOMA SHULE YA MSINGI LUNDO PAMOJA=KUMBUKUMBU


Dunia hii ni kubwa kwa kweli Padre Raphael Ndunguru tumesoma shule ya msingi pamoja. Ni muda mrefu sana sijamwona kwa hiyo nimefurahi sana kuoma picha yake na kujua amekuwa padrea. Nami nasema Imani, Matumaini na Mapendo.

3 comments:

Anonymous said...

Hongera kwa kuwa padre Raphael. kufanya kazi ya kumtumikia Mungu!

Anonymous said...

Du, ticha wangu huyu!!

Yasinta Ngonyani said...

Nami pia napenda kutoa HONGERA SANA kwa kuwa mtumishi wa mungu