Tuesday, June 21, 2016

ZAWADI KUTOKA KWA RAFIKI YANGU HUKO NYUMBANI....NI KISAMVU NA MIHOGO

 Nalipenda zao hili la muhogo sana kwanza unapata mboga, mti wake unaweza kutumika kama kuni...
...muhigo wenyewe unaweza kutafuna, kuchemsha na kula kwa chai asubuhi au chakula cha mchana au jioni pia unaweza kupika kama futari tena wakati huu wa mfungo wa Ramadhani  muhogo una  thamani ana. Maganda ya muhogo ni chakula kizuri sana kam unafuga baadhi ya wanyama pia samaki... hii ilikuwa  habari fupi kuhusu mihogo. Ila hii ni zawadi yangu kutoka kwa rafiki yangu. Najua kuna watu humu mmetamai:-)

No comments: