Thursday, June 30, 2016

HILI NI CHAGUO LA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO KUWA PICHA AZIPENDAZO NA ZA MWISHO WA MWEZI HUU WA SITA

 Huwa najisemea  mara nyingi sana hakuna kabila litunzalo mila, tamaduni kama kabila la kiMasai ebu angalia hao akina kaka mavazi yao au tu kwa ujumla jinsi uwaonavyo wanavyothaminimila/utamaduni wao

Na hawa akina dada yaani mavazi yao ni rahisi na wamependeza. Bado watu tunahangaika  na utamaduni wa watu wengine  sijui masuruali.....nk. Kwanini kuiga utamaduni wa wengine wakati wenyewe tuna utamaduni mzuri na wa kuvutia?.....

No comments: