Sunday, June 19, 2016

JUMAPILI YA LEO TUPO KATIKA KIINI CHANGU NYUMBANI LITUMBANDYOSI...NA HILI NDIYO KANISA LETU

Kanisa hili ndilo alilosali babu, bibi, shangazi baba yangu na karibu wanafamilia wote wa Ngonyani husasani mimi Kapulya na  nimeshawahi kusali katika  kanisa hili na familia yangu....USISAHAU ULIKOTOKA NYUMBANI  KWA BABA YAKO NI NYUMBANI KWAKO.....JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!

No comments: