Friday, December 2, 2011

NI IJUMAA YA MAJONZI MSANII MR EBBO AFARIKI DUNIA


Nimepatwa na mstuko pia majonzi makubwa sana baada ya kusikia kifo cha msanii huyu kwani ni moja ya wasanii niliokuwa nikiwasdikiliza kila mara. NAPENDA KUTOA POLE KWA FAMILIA YA MR EBBO NA NDUGU PIA MARAFIKI WOTE. MAREHEMU NA ASTAREHE KWA AMANIPEPONI AMINA. TUTAKUKUMBUKA DAIMA.

3 comments:

sam mbogo said...

Mzungu mamantilie!. mungu amechukuwa kilicho chake.nikumshukuru mungu kwa hili jambo. wote ni safaliyetu huko,ila hatujuwi ,saa,siku namuda . kaka s

issack che jiah said...

Ple sana wadau wa bf mmekosa uhondo wa mr ebo ,

Yasinta Ngonyani said...

Kaka sam..Ndiyo mamantilie mzungu! hakika kila mtu ana siku yake ambayo Yeye baba Mungu tu ndiye anayejua.

Che Jiah! hili ni pigo ila tutamkumbuka sana hasa katika sala pia miziki yake.