Sunday, March 2, 2014

KATIKA JUMAPILI HII YA KWANZA YA MWEZI HUU WA TATU TUANGALIA HILI, MKE:- FURAHA YA MUME WAKE!

Kitabu cha Mithali kinaeleza jinsi mwanamke mkamilifu alivyo, mwanamke aliye furaha na fahari ya mume wake. Mwanamke huyu anafanya kazi zake kwa bidii, ana hekima, ni mwaminifu na hutunza kwa uaminifu watu na vitu vya nyumbani. (Mit. 31:10-31)

No comments: