Monday, March 17, 2014

EBU JUMATATU HII YA LEO TUANZE NA MSEMA HUU CHEKA UNENEPE:- VICHEKESHO VYETU!!

Katika kuhakikisha wanafunzi wa darasa la kwanza wanaelewa, mara nyingi walimu hutumia mifano mingi sana, nakumbuka baba yangu alivyokuwa akitupatia mifano mingi ili tuelewe...haya fuatana nami na mahojiano yafuatayo ambayo mwalimu alikuwa anajitahidi kuwaelewesha wanafunzi wake:-

Mwalimu:- Nikikupa chapati sita halafu ukala mbili zitabaki chapati Ngapi?
Mwanafunzi:- Ukinipa na chai ya maziwa haitabaki hata chapati moja.

HAYA NIKUTAKIE JUMATATU NJEMA SANA  NA PANAPO MAJALIWA TUTACHEKA TENA JUMATATU IJAYO:-)

No comments: