Saturday, October 13, 2012

UREMBO MWINGINE KAAAZI KWELIKWELI!!!

Sasa hapa sijui anakulaje?

3 comments:

Rachel Siwa said...

Anaweka hapo vyakula vyoote, alafu anasukuma na mkono vyote vyaingia kwa pamoja...huyu ana akili sana na hapotezi muda kwa kula tu...kwani siwanasema Muda ni maliiiiiiiii yakhe!!!!!!

Yasinta Ngonyani said...

Kachiki nawe..kaaaazi kwelikweli..na hakuna kuongea au?

Salehe Msanda said...

Kazi kwelikweli