Tuesday, October 23, 2012

WIKI HII NAONA ITAKUWA YA RUVUMA---TURUDI SONGEA TENA..


Wote tunajua MAJI ni muhimu kwa uhai wa binadamu ...kuwa na maji safi na salama kila mtu ana haki lakini si wote wanapata huduma hii...KILA LA KHERI

No comments: