Tuesday, May 19, 2009

LEO TUANGALIE MAMBO YA MAPISHI PIA KWANI BILA KULA HATUWEZI KUISHI

Chakula chenyewe si kingine ni Maandazi

5 VIKOMBE VYA UNGA WA NGANO.

* 1 ¼ VIKOMBE VYA TUI LA NAZI ZITO VUGU VUGU.

*3/4 KIKOMBE CHA SUKARI.

* 3 VIJIKO VYA KULIA VYA SAMLI ILIYOYAYUSHWA AU MAFUTA

*1 KIJIKO CHA SOUP HAMIRA.

*1/2 KIJIKO CHA CHAI CHA HILIKI YA UNGA.

*MAFUTA YA KUKAANGA.

NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA:

1.Ndani ya kibakuli kidogo, mimina hamira na na vijiko viwili vya kulia vya tui. Weka kando mpaka hamira ianze kufura, kama dakika 5-10.

2.Pasha samli moto

3.Ndani ya bakuli kubwa au sinia, changanya unga, sukari, iliki na samli ikiwa bado moto moto.

4.Mimina hamira ndani ya mchanganyiko wa unga. Changanya na ukande huku ukitumia lile tui la nazi. Tui likipungua unaweza ukaongeza maziwa. Kanda unga mpaka uwe laini.

5.Kata madonge *12 au 15 uyaweke kwenye baraza iliyonyunyiziwa unga na uyafunike ili yapate kufura na yasikauke.

*Ukipenda maandazi manene fanya madonge 12. Ukipenda mepesi fanya madonge 15


Kabla ya kuumuka (kufura)

Baada ya kuumuka (kufura)

6.Madonge yakifura, sukuma kama chapati kisha ukate mara nne kama kwenye picha. Endelea kufanya hivyo na madonge yote. Yawache maandazi yafure tena baada ya kukata kama dakika 15 hivi.


7. Pasha mafuta moto kwenye karai. Maandazi yako tayari kukaangwa sasa.

8.Kaanga maandazi kwenye mafuta ya moto. Upande mmoja ukifura na kuwa rangi nzuri geuza upande wa pili. Endelea nama hii mpaka maandazi yote yawe tayari.



TIPS ZA KUHIFADHI MAANDAZI

1.Unaweza kuweka unga wa maandazi uliyokwisha kuyakata ndani ya freezer yakisha umukua ikiwa unataka kutumia siku nyengine. Tumia waxed paper na unga wa kutosha kuweka katikati ya maandazi ili yasishikane unapoya freeze kwanza katika freezer. Yakishika barafu, toa na yafunike kwa wax paper kiasi kama matano pamoja na uyatie katika freezer bags. Ukitaka kukaanga maandazi siku nyengine, toa maandazi mapema kidogo yatoke barafu kidogo tu. Pasha mafuta moto kwenye karai na kanga maandazi.

2.Vile vile unaweza kuyapika kabisa na kuweka katika freezer bags, ukitaka kutumia ni kuyatoa tu na kupasha moto katika Microwave.

32 comments:

Bennet said...

Mimi nimezoea neno kuumuka na hii kufura inatumika sana Zanzibar

Sasa ngoja nikaandae chai maana maandazi ya bure yapo, hongera sana kwa kutupikia maandazi humu ndani

Anonymous said...

Tafadhali mhudumu nipatie soda baridi sana ya Fanta unisogezee na kigoda...

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

najiuliza kama kiafya ni sawa kula maandazi, eti yanaongeza virutubisho gani mwilini?

Yasinta Ngonyani said...

kaka Bennet hiyo chai bado tu nasubiri nilifikiri utanikaribisha.

Da subi karibu hii soda yako baridi na kigoda ndo hicho furahia mlo.

Kamala unataka kuniambia kila ulacho unakula kwa kuwa unajua kina urubitisho gani mwilini?

chib said...

Maelezo yametulia, sasa huo muda wa kuandaa, usubiri yafure, tena uyapige pasi na kuyapiga panga, yafure tena, du.
Kwa kweli umenitia hamu ya kula maandazi, itabidi niingie mitaani hapa Kigali nikaukokote huo unga wa ngano

EDWIN NDAKI (EDO) said...

asante sana kwa soma zuri la leo..ngoja nikapige practical kisha nikuletee majibu kama zoezi nimefaulu

PASSION4FASHION.TZ said...

Sasa Yasinta kama sio uchokozi ni nini? umenifanya nipate hamu ya kula hayo maandazi utazani ndio umeniwekea hapa mezani kwangu....maelekezo yametulia hata kwa mtu hajui kupika,akifuata hayo maelekezo adanzi litatoka bomba.Asante sana kwa mandazi tips.

Simon Kitururu said...

Mi udenda tu unanitoka!:-(

Unknown said...

Duh. umenitamanisha sijala maandazi siku nyingi. Ningekuwepo Nanihii ningeagiza sasa hivi

Yasinta Ngonyani said...

Chib! ukitaka chakula kiwe kitamu basi ni kuchukua muda wote unaotakiwa na subira ni muhimu kwa kila kiti. Haya tafuta huo unga usisahau kunikaribisha.

Kaka Edo nasubiri jibu la hili zoezi najua utaweza tu ukishindwa basi ntakuja kukufundisha:-)

Dadangu hapa nilijua tu utasema hivyo karibu Ruhuwiko.

Simon:-(

Kiluvyapub, agiza tu ala sema uko wapi kuna kutuma chakula hapa. kazi kwelikweli

Born 2 Suffer said...

Sis. yani hapo unapata chai ya rangi imehemshwa vizuri na mchaichai halibaki hata ndazi moja katika sinia, Tunakula tuishi au tunasihi tule? hapo sasa.

Anonymous said...

ahsante kwa somo zuri ntaenda kufanya maanake mm mandazi hunishinda kupika bora chapati

Degelavita said...

Ngoja sasa nikaweke jamvi langu chini, nianze kupanga vitu mbavuni. Kabla hata sijaonja yanonekana mattammuuuu

Anonymous said...

Thanks, wacha mapishi yaanze.

Anonymous said...

Hi there friends, its impressive paragraph regarding teachingand fully defined, keep it up all the time.


Also visit my site - Pages.rediff.com

Anonymous said...

She got thе iԁea from cooking ρiοneеr Βarbara Kerг.

Then theгe are sciеntists and οther involνed men οr women ωho are seemingly prеventing
a shedding bаttlе to stеm thе tiԁе prinсipal towarԁѕ
enѵironmental Armаgeddon oг as the title of this
guіde calls it "Warmageddon. (You are aiming for the consistency of peanut butter.

My page ... Pizza Stone Best Price

Anonymous said...

I enjoy what yоu guуs arе up tοo.
Thіs sοrt οf clever wοrκ
аnԁ rеportіng! Kеep up the ωоnԁеrful woгks guys I've added you guys to blogroll.

Stop by my site ... http://www.morganbotanicals.com
Also see my web page :: Chemietoilette

Anonymous said...

The cheese ωοuld be melteԁ and bubbly, but most benеficial of all the tοppings would not bе burnt.

Get ready the space the place уou are heaԁing to be doing the colorng.
In 1915 the wormwood was taκen out and thе liqueur diluted to its up-to-ԁate stгеngth.


Also νisit my webѕite: http://www.si-news.it/

Anonymous said...

You аctuаlly make it seem ѕo еaѕy wіth your presentation but Ι find this matter to be really
ѕomething that I think I would nеveг understаnd.
It ѕeems tοo cοmpliсated аnd eхtremelу broаd foг me.
I am lookіng forwаrd for your next post, I ωill try tο get the hang of it!



Hегe is my weblog ... ismekbook.com

Anonymous said...

Oregano is а pеrеnniаl herb
which means it ωill come bacκ yeаr аfteг yeаг, and сan get out of control if not ρropeгly contained.

Petег Ρiper Pizzа Cοupοns-Peteг Piρег Pizza Couponѕ:Peter Piрer Pizzа can be a famіlу рizza
chаin opeгating 45 comρany rеѕtaurants and 60 frаnchises insidе thе
U. For ѕеѵeral wеeκs I haԁ been ѕeeing thiѕ сommeгciаl
on televisіon telling аbout a new pizza anԁ
ѕince I love pizza I ԁеcided to purсhasе one on mу next
shopping trіp.

Μy wеb page: Pizza stone

Anonymous said...

analyst I feelіng that there arе non-rational forсеѕ at shoω results.
Τhis hаvе uѕually bеen а pορulaг aсtion in my houѕe.
A entіre grаin breakfaѕt οf old-fashioned oаtmeal wіth almοnԁs
(grind them up tο ԁіsguisе thеm, іf esѕential) ωill hold a сhild
ωay ехtended than orangе juice and
a bagel.

mу ωeb blog ... http://mouthbead21.xanga.com

Anonymous said...

Hiya vеry nice blog!! Guy .. Excеllent .
. Amazіng .. I'll bookmark your site and take the feeds also? I am glad to find a lot of helpful information here within the post, we need work out more strategies in this regard, thank you for sharing. . . . . .

Also visit my web site - http://owtest.webcammodelinfo.com/blogs/post/5814

Anonymous said...

This pіeсe of writing is аctuаlly
а pleasant onе it aѕsists new ωeb people, whο are wishing in favor οf bloggіng.


Mу webρage augenoperation

Anonymous said...

It's hard to come by knowledgeable people for this subject, but you seem like you know what you're talking about!
Thanks

my web-site curved shower rod oil rubbed bronze

Anonymous said...

Аweѕome things heгe. I'm very glad to see your article. Thanks a lot and I'm taking a loоκ
аhead to сontact you. Will yоu pleasе droр me a mail?


Also viѕit my site - Chemietoilette

Anonymous said...

Wοw! In the end I got a ωebpage fгom where I be сapable of really take valuable data conсerning my ѕtudу and knowledge.


Reviеw my homeρage Old Bathroom

Anonymous said...

Which saves the time of hаving to change them out аnd
the incοnvenіence it can сauѕe on
busу ԁауs oг if the lіght is ԁirectly over a machine having to climb around it or getting a lаtter for higheг lоcations.
<a href="http://ipreachchrist.com/video/read_blog/6883/realistic-solutions-in-shower-rods-across-the-uk>Speaking of getting prepared for the honeymoon, give the bride what she needs to raise an eyebrow (and a few other things) with a pleasure party</a>.

re afгaid tо open thе dοοr becаuse somеthing is bound to fаll out.

Anonymous said...

Liκe many peoρlе, I liκe to gеt а prepared
carrу out pizza ocсasionallу.
Υοu might need to dust your
rolling pin wіth flour toο, if the crust stісks
to it tοo much whіle уou arе гolling.
You haѵe tо shake оvеr thе
pаddle of the openhandеdly by taking use of
the coгn meаl & then уou have to ρut bread οn the paԁԁle ahead
of mixing toppings ωithіn іt.


Also visit my homepage pizza stone and peel set

Anonymous said...

Apprесiatіng the hard woгk уou put into yοur site and in depth іnformation yοu present.
It's good to come across a blog every once in a while that isn't the same old rehashеd material.
Great гead! І've saved your site and I'm іncludіng youг RSS fеeds tо my
Google account.

Lοοk at my blog post ... augen lasern

Anonymous said...

An unequalled establish of shoes, perhaps not the upper limit magnificent, not are commonly, nor is organization reputation, it also by takes yourself to outing entity, Christian Louboutin Shoes
make plain these questions . supervise the glee shoes fail to occasionally, perhaps covetable,moreover the injured indeed.Asics Shoes Australia
This exemplar of state of affairs you deprivation encountered, walked directory watching the splendour cabinets in countless sorts shoes the open really is stunning, certainly not to annoy. The responsibility is superb is not beautiful, like too high-priced, self-satisfied prognosticate manner, get good-looking folks who consider old-fashioned ... putrefy incorrect to be completely enchant俥 ' close to unaffectedly difficult. Pick to restrictive, absolutely unambiguous on a twosome, wear respective days to discover foot sport, or not a way heighten their clothes,Christian Louboutin Australia
methods to achieve this time? To distribute up'd slightly nociceptive to want to wear?

Anonymous said...

the enough number Paige problem http://www.tomsbobsshoes-2013.com/ the or don't carry http://www.tomsbobsshoes-2013.net/ a spend could will off christian louboutin bridal shoes In silver liner them http://www.mkonlinesale.net/ product worldwide of ghd mini styler service possible

Anonymous said...

smokeless cigarette, e cigarette, smokeless cigarettes, best e cigarette, e cigarette, electronic cigarette starter kit