Wednesday, March 4, 2015

LEO TUANGALIA ZAO LA KARANGA

 Mmea wa karanga punde utakapo kuvunwa
 Karanga baada ya mavuno zimekauka  tayari
Ulijua ya kuwa nchi ilimayo karanga  ni CHINA? Basi Chini huta asilima 41,5%  Na inayofuatia ni India na asilimia 18,2%. Kwa mabara ya Ulaya ni Ugiriki ambayo hutoa  kwa wastani tani  2000 za karanga kwa mwaka. 
Na inasemekana karanga chanzo chake ni Amerika kusini katika nchi ya Peru. Na kwamba karanga  ambazo zipo leo sio za pori 
Mmmmhh! mimi katika mawazo yangu nilifikiri karanga asili yake Afrika na zinalimwa zaidi Afrika. Ama kweli kujua kusoma naona furaha/kuperuzi peruzi...ni muhimu nikaona sio mbaya nikiwajuza na mwenzangu. 
Chanzo:-ILLUSTRERAL VETENSKAP

No comments: