Friday, July 18, 2014

UJUMBE WA LEO !!!

Ni kwamba katika maisha ipo hivi: Pale unapowafurahisha  wengine, ndipo furaha yako inazidi kuongezeka. Kwa hiyo pale upatapo nafasi jaribu kumfurahisha labda rafiki, au wale walio karibu nawe.
PAMOJA DAIMA!!!

No comments: