Thursday, July 3, 2014

BADO TUNA MWENDO MREFU......

Nimeyatamani hayo maembe mno...ila zaidi ni kwamba hawa watoto ilibidi wawe darasani lakini wapo barabarani kutafuta maisha. Hapo ni barabara ya Tunduru Namtumbo…kijiji baada ya Namwinyu!.....picha kwa idhini ya kaka Chacha. Basi niwatakieni siku njema wote najua tupo wengi tunaotamani haya maembe:-)

No comments: