Sunday, October 27, 2013

NAPENDA KUWATAKIENI DOMINIKA HII YA WATAKATIFU WOTE IWE NJEMA KWA WOTE...

 
Napenda kuwatakieni wote jumapili njema sana na Furaha na upendo zitawale ndani ya  mioyo na nyumba zenu. Ujumbe wa leo:NINAMPENDA  MUNGU NA   NDIO MAANA MOYO WANGU UNAMTUKUZA NA KUMSHANGILA UKISEMA: Ee Bwana na Mungu wangu, Uliye mwanzo na mwisho wangu, Kuanzia sasa najiweka mikononi mwako, unitumie kulingana na mapenzi yako. Kisha unifundishe njia ya kuipanda ngazi ya kufikia. AMINA....KAPULYA
 

5 comments:

Rachel Siwa said...

Ameeen!!!!!Asante sana KADALA..Nawe iwe njema kwako na familia pia..Ujumbe mzuri mno.

WAKO;KACHIKI.

Yasinta Ngonyani said...

Kachiki ....ahsante twamshukuru mungu imekuwa jumapili njems.

Anonymous said...

Jumapili njema Dada Yasinta. Mungu akubariki sana.

ray njau said...

amani upendo na furaha kwa wote!

Yasinta Ngonyani said...

Usiye na jina wa 3:08..ahsante ....
Kaka Ray! Nimependa ujumbe wako.