Wednesday, October 9, 2013

KARIBUNI UTAANZA MSIMU WA MATUNDA HAYA YA PORI KWA JINA LA MASUKU/MAPOTOPOTO

 

Kama mnakumbuka kuna mada niliwahi kuiweka hapa kwa kuwakumbusha basi gongeni kapulya. Matunda haya ni maarufu sana katika Mkoa wa Ruvuma  nasi huyaita masuku na wangoni wanasema Mapotopoto ni matamu sana. Na kwa kujipatia hela ni rahisi sana masuku kumi ni shilingi 100 kwa hiyo ukiwa nayo mia moja  uongo mbaya...NAWATAKIENI JUMATANO NJEMA SANA WOTE NA PANAPO MAJALIWA TUTAGONGANA TU....



4 comments:

ray njau said...

Ahaaaaaaa,Ruvuma inavuma!!!

Unknown said...

Nayafahamu haya matunda ila nimeyasahau yanaitwaje. Majina yote uliyosema ni mageni kwangu. Siku nikiyakumbuka basi nitakuekleza. Siku njema.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray! ni haswaaaa ina vuma na itavuma sana:-)
Kaka wa mimi Mrope...Nasubiri hilo jina jingine kwa hamuuuu....

ray njau said...

Acha ivume kwa kuwa ina wavumishaji!!