Thursday, October 31, 2013

BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMEONA TUUFUNGE MWEZI HUU WA KUMI KWA UBUNIFU WA MCHEZO HUU!!!

Napenda kuwatakieni wote mwisho wa mwezi huu wa kumi. Naamini umekuwa mwezi mzuri kwa wengi na kwa wale walikuwa na majukumu kupita kiasi basi nawaombeeni mwezi uanzao kesho uwe mzuri. NAWATAKIENI WOTE MWENZI MPYA WA KUMI NA MOJA UWE MZURI NA WENYE AMANI NA FURAHA. MWAPENDWA WOTE....KAPULYA

6 comments:

ray njau said...

Ha ha ha!!
Michezo kwa afya na ujirani mwema.

Penina Simon said...

Aisee watu wabunifu!!!!!!!!!

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray!..Yaani umenena haswaaa

Dada P! yaani haswaa ubunifu wa namna yake.

Salehe Msanda said...

Habari
Asante nawe pia
Kila la kheri

Christian Bwaya said...

Tafiti zinaonyesha kuwa watu waishio katika maisha yanayoonekana kuwa duni, ndio wenye furaha zaidi. Mfano ni hawa. Swali: kwa nini?

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Salehe! Ahsante!

Eeeehhh kaka Bwaya ni furaha ilioje kuona umerudi na upo nasi. Ulichosema ni kweli..na nimependa swali lako, Kwa vile watu wengi wameridhika na waishivyo .....