Friday, June 6, 2008

Juni, 6, 2008

Kama ulikukuwa hujui basi leo utajua. Ni kwamba hapa sweden leo ni sikukuu ya Taifa. Watu wengi wanapumzika tu leo na pia bendera zinapepea. Kwa bahati imeangukia siku nzuri yaani hakuna baridi jua linawaka sana kwa hiyo watu ambao wana mapumziko wamejianika kama mihogo tayari kwa kuota jua ili wapate rangi.

Na; Yasinta Ngonyani

No comments: