Wednesday, June 18, 2008

JUNI 18,2008 mziki wa kale


Hapa jamani mnaona akina mama na akina baba katika mavazi maalum. Hapo zamani haya ndio yalikuwa mavazi ya hapa sweden. Na hapo ndo walikuwa wanapiga huo mziki wa asili kama ville Lizombe, zeze au kama umewahi kumsikia Marehemu ZAWOSE yule mgogo alikuwa akiimba na kupiga malimba nk. hiyo instument inaitwa FIOL.
Na; Yasinta Ngonyani

No comments: