Friday, June 6, 2008

CCM

hapa ni bendera ya CCM








Na; Yasinta Ngonyani

1 comment:

Anonymous said...

Nimemkumbuka MWALIMU J.K NYERERE,nimekumbukaalama hizo zilizowakilisha uhalisia wetu watu wa tanzania...lakini sasa...mafisadi wanaiteketeza nchi,ndiyo maana NYERERE alisema 'mkiwaachia nchi vijana hawa watawapeni taabu huko mbele'.Aliowasema ndiyo hao kina Kkikwete nawenzake kina mwizi Lowassa na jambazi mpya ambaye nadhani anahukumiwa sasa na kinyongo cha Nyerere kwani amemsaliti nasasa wanamzomea mitaani ni huyu Benjamini Mkapa yaani watu wanamwita fisadi na mwizi mkubwa.Alale mahali pema Nyerere.