Sunday, June 15, 2008

Juni 15, 2008 TANGAZO: Vitabu Vinauzwa

Habari za leo ndugu wasomaji, ndio najua mtasema huyu mtu vipi. Sio kitu hapa ni baadhi ya vitabu yaani vya hadithi;-


1. Upeo wa mapenzi kimetungwa na; Nyehana Justin
2. Maisha ni safari ndefu na; J.D Ukason na B.G. Mbele
3. Hasusa ya shetani na; Manfred Chr. Mahundi
4. Mdundiko wa maisha na; Joachim Gatahwa
5. Anasa hunasa na; Deusi .C. Masunzu
6. Nakulaumu wewe na Frederick Mbabagu Titi
7. Lazima unioe na; H. Kusare Mboya
8. Nambie Nikuambie na; S.A. Mpinga
9. Salome maskini na; Bernard Mapalala
10. Talaka siku ya ndoa na; S. F. Shija
11. Hadith za wangoni cha kwanza mpaka cha nne na: Angela Amandus Haule
12. Nimekugundua! na; Anania Mbawala
13. Tamaa mbaya na; Kayafa H. Mwangoka
14. Penzi Chungu na; C. Abdul Ntandu
15. Kwa nini iwe jumapili na; Marco Malilo Kaluma
16. Kizazi gani hiki na; Patrick M. Kija
17. Wimbi la aibu na; Amina S. Mlele
18. Simba wa Tunduru na; B.Z. Mkirya

Na vingine vingi vingi ambavyo havipi kwenye orodha haya sasa wahi usichelewa kwani nadhani kuna wengi ambao wana hamu sana yakusoma. Kwa hiyo chukua nafasi kabla sijabadili mawazo. Bei ya kitabu kimoja ni euro 9,99. Kazi kwako sasa.


Na ; Yasinta Ngonyani

1 comment:

Anonymous said...

ha, I am going to try out my thought, your post bring me some good ideas, it's really awesome, thanks.

- Norman